Saturday, July 23, 2011

VIGOGO WAFURIKA

  • View GLOBAL's News

  • Na Imelda Mtema
    SHEREHE ya kuagwa ‘Sendoff’ ya dada wa Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Vijana Mkoa wa Arusha, Catherine Magige, Jack Mjelwa ilikutanisha vigogo kibao wakiwemo viongozi mashuhuri nchini.
    Bakari Mwapachu (wa pili kulia) akijadiliana jambo katika sherehe hiyo.
    Katika sherehe hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, wiki iliyopita, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Raia, Bakari Mwapachu nao walitinga kwenye mnuso.

    Mh. Sitta (wa pili kulia) akiwa na mkewe, Margaret Sitta (kushoto).
    Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii, Magreth Sitta ambaye ni mke wa Sitta naye alikuwemo.

    Pamoja na kupambwa na vigogo, Catherine alifanya kufuru ya aina yake pale alipommwagia fedha

    No comments:

    Post a Comment