Wednesday, July 13, 2011

ISHA MASHAUZI, KHADIJA KOPA WAPAGAWISHA WABUNGE DOM

Isha Mashauzi (kulia) akicheza kiduku na mama yake.
...Wabunge wakiserebuka.
WAIMBAJI mahiri wa muziki wa taarabu nchini, Isha Ramadhani (Mashauzi) na ‘Malkia wa Mipasho’, Khadija Omary Kopa, wiki iliyopita waliwapagawisha wabunge mjini Dodoma katika sherehe ya ‘Kitchen Party’  ya dada wa Mh. Catherine Magige (Mbunge wa CCM), aitwaye Jacqueline Mjelwa, iliyofanyika katika ukumbi wa African Dreams.

Mh. Magige (katikati) akiingia ukumbini na mama yake mzazi.
Waziri wa Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia (kushoto), akiongoza mduara kwa wabunge.
Isha Mashauzi (kulia), mama yake (katikati) na MC Kide wakifanya mambo yao.
Magige akiongea jambo. Katikati ni dada yake.
Aliyewahi kuwa waziri wa elimu, Margaret Sitta, akiwasalimia waliohudhuria.
Khadija Kopa katika pozi.
Magige na Mh. Subira  wakisakata rumba.
Mh. Anna Muonga katika pozi.
Mh. Grace Kiwelu pia alikuwepo.
Wabunge wakijinafasi.
Mkazi wa Dar, Mboni Masimbe, akifurahia maisha.
Magige katika pozi.
Wabunge katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment