

WIKI iliyopita staa wa Bongo Fleva, Esterlina Sanga ‘Linah’ alijimwaga na shabiki wake namba moja, Damson Mnyenye, mkazi wa Ubungo, Dar.
Wawili hao ‘wali-injoi’ kinomanoma maakuli ya The Atriums Hotel hasa huduma za kistaa walizopatiwa na wahudumu nadhifu wa hoteli hiyo.
Baada ya mpango mzima uliosababishwa na gazeti hili, Linah alifunguka: “Nimefurahia sana huduma za The Atriums Hotel, ni sehemu tulivu iliyojaa kila aina ya liwazo.”



No comments:
Post a Comment