Saturday, July 16, 2011

BOB JUNIOR AFUNIKA KWA MADEMU


Na Musa Mateja, aliyekuwa Mbeya
Msanii wa Bongo Fleva aliye pia ‘the big boss’ wa Sharobaro Records, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’ (pichani) amefunika ndani ya Jiji la Mbeya kwa kutembelewa na mademu hotelini alikofikia kwa ajili ya Tamasha la Fiesta.

Ishu hiyo iliyoshuhudiwa na ‘vuvuzela’ wetu ilichukua nafasi ndani ya Hoteli ya Mount Stone, Mbeya mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo msanii huyo alikuwa mmoja wa wasanii ‘waliopafomu’ katika tamasha hilo.

Baada ya kushtukia ishu hiyo, Amani lilitia maguu jirani na chumba cha Bob Junior kwa washkaji wengine ili kupata mkanda kamili ambapo lilikutana na majibu haya:

“Wewe achana na Bob Junior, tangu tumefika ndiye anayeongoza kutembelewa na mademu chumbani.”

Alipofuatwa ili kutoa ufafanuzi juu ya ishu hiyo, Bob Junior alifunguka:
“Ni kweli wamenifuata mademu kibao lakini wengi ni wasanii wachanga wanahitaji

No comments:

Post a Comment